Back to home

Shirika lisilo la serikali laandaa warsha ya wanawake Turkana na kuwapa huduma za afya

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 26, 2026
2h ago
Katika juhudi za kuimarisha afya ya wanawake wafanyabiashara, shirika moja lisilo la kiserikali limeandaa warsha maalum katika maeneo ya Kakuma na Lodwar kaunti ya Turkana. Warsha hiyo ikiwalenga akina mama zaidi ya mia moja waliokuwa wamepata mafunzo ya biashara, huku wakipat
Advertisement