Back to home

Idara ya Uhamiaji Kenya yafafanua madai ya pasipoti haramu

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 26, 2026
2h ago
Kwa wiki kadhaa, wizara ya usalama, na haswa idara ya uhamiaji imesalia kimya kuhusiana na madai kuwa wapiganaji wa kundi la Rapid Support Forces wanaoendeleza mapigano nchini Sudan, na mfanyibiashara mwenye sifa mbaya kutoka Zimbabwe walipewa pasipoti ya Kenya kinyume cha sheria
Advertisement