Back to home

Tume ya kutetea haki yataka waathiriwa wa maandamano wajiandikishe ili kupata fidia

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 27, 2026
3h ago
Huku makataa ya kuwasilisha kesi za waathiriwa wa maandamano ambayo ni tarehe tatu aprili yakikaribia, mwenyekiti wa tume ya kutetea haki za binadamu claris ogangah, ametoa wito kwa waathiriwa kujitokeza katika ofisi za tume hiyo au kupitia njia za kidijitali ili kuorodheshwa kwe
Advertisement