Back to home
Sifuna aashiria kujiuzulu ODM akitaja uongozi mpya kuwa hafifu
video
C
Citizen TV (Youtube)March 27, 2026
2h ago
Tukisalia kwenye siasa za mpasuko wa chama cha chungwa, Katibu wa ODM Edwin Sifuna, ameashiria kuondokea wadhifa huo, akisema kuwa hataendelea kuhudumu chini ya uongozi anaoutaja kuwa hafifu. Akizungumza kwenye mkutano mbadala wa mrengo wa Linda Mwananchi, Sifuna amesema Kwamba
Advertisement
Advertisement

