Back to home
Osotsi ang’olewa ODM, Oburu Oginga atawazwa kinara
video
C
Citizen TV (Youtube)March 27, 2026
2h ago
Seneta wa Vihiga Godfrey Osotsi ametimuliwa kama naibu kinara wa chama cha ODM. Kwenye mkutano maalum wa wajumbe wa chama cha chungwa, katibu mkuu wa ODM Edwin Sifuna aliponea shoka huku chama hicho kikitangaza kuanza mchakato wa kuwaadhibu waasi. Dkt. Oburu Oginga aliidhinishwa
Advertisement
Advertisement



