Back to home

IEBC yafungua usajili wa wapiga kura, yalenga wapiga kura wapya milioni 2.5

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 28, 2026
1d ago
Wakenya ambao hawajajisajili kama wapiga kura sasa wana nafasi ya kufanya hivyo kuanzia Jumatatu, Machi 30, kwa kipindi cha siku thelathini. Hii ni baada ya Tume ya Uchaguzi, IEBC, kutangaza kuwa itaanza rasmi mchakato wa kuwasajili wapiga kura kote nchini, ikilenga kuwasajili wa
Advertisement