Back to home
Uchu wa dhahabu Dabel: Jamii ya Sekuye yasema inaonewa na kulengwa na wawekezaji waotaka ardhi yao
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 28, 2026
4h ago
Jamii ya Sekuye inayoishi katika eneo la Dabel huko Moyale kaunti ya Marsabit imepaza kilio chake cha kuonewa na kulengwa na wawekezaji wanaofika katika ardhi yao ya zaidi ya ekari 5,000 kwa lengo la kuwafurusha ili wachimbe na kuuza dhahabu.
Subscribe and watch NTV Kenya live
Advertisement
Advertisement




