Back to home
Masaibu ya Standard media Group huku CAK ikisema itafuta leseni zake sita za utangazaji
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 28, 2026
4h ago
Shirika la Standard Media sasa imejibu vikali kile inachokitaja kama shinikizo na vitisho vya muda mrefu kutoka kwa mamlaka ya mawasiliano nchini kufuatia uamuzi wa mahakama ya rufaa kuruhusu kufutwa kwa leseni zake sita za utangazaji.
Subscribe and watch NTV Kenya live for lat
Advertisement
Advertisement









