Back to home

Mbunge wa Ol Kalou Kiaraho afariki; Rais Ruto na Wetangula wamuomboleza

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 29, 2026
2h ago
Rais William Ruto na Spika wa bunge la taifa Moses Wetangula wameongoza Wakenya kumuomboleza mbunge wa Ol Kalou. David Njuguna Kiaraho aliyeaga dunia usiku wa kuamkia leo. Familia iliyotangaza kifo chake imesema kuwa mwanasiasa huyo almekuwa akiugua kwa muda na alikuwa akipokea m
Advertisement