Back to home

Rais ahakikishia familia ya Gachagua kupata haki baada ya mvutano wa urithi

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 29, 2026
2h ago
Rais William Ruto kwa mara nyingine amemsuta aliyekuwa naibu wake Rigathi Gachagua kwa madai ya kuipokonya familia ya marehemu kakake mali yao. Rais amesisitiza kuwa atahakikisha familia ya marehemu nderitu gachagua inapata haki. Suala hili limegonga vichwa vya habari kwa juma mo
Advertisement