Back to home
Gachagua adai SHA itasambaratika hivi karibuni
video
C
Citizen TV (Youtube)March 29, 2026
2h ago
Kinara DCP Rigathi Gachagua sasa anadai kwamba bima ya Afya ya kitaifa ya SHA, itasambaratika kutokana na mzigo mkubwa wa madeni. Gachagua amezungumza Kirinyaga huku waziri wa Afya Aden Duale aliyekuwa kaunti ya Wajir akipuuza madai hayo akisema kuwa bima ya SHA ambayo imesajili
Advertisement
Advertisement





