Back to home
Makala: Wanafunzi wanahangaika ukambani; shule Makueni, Kitui na Kajiado hazina vifaa vya kutosha
video
C
Citizen TV (Youtube)March 29, 2026
2h ago
Hii leo kwenye makala maalum tunaangazia tishio linalokodolea macho baadhi ya shule za umma katika maeneo ya Makueni, Kajiado na Kitui. Hali ya umaskini imesababisha masomo kuathirika huku baadhi ya shule zikikosa kabisa vifaa na miundo msingi ya kawaida. Mwanahabari wetu Serfine
Advertisement
Advertisement





