Back to home

Wakazi wa Eselenkei wafanya mkataba wa kuhifadhi mazingira wakilenga kulinda jamii na wanyamapori

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 30, 2026
3h ago
Wakazi pamoja na viongozi wa Eselenkei Group Ranch katika Kaunti ya Kajiado wamekubaliana kutia saini mkataba wa uhifadhi wa mazingira unaohusisha zaidi ya hektari elfu kumi na mbili. Mpango huo unalenga kuboresha maisha ya jamii na kulinda wanyamapori.
Advertisement