Back to home
Mwanaume huko Kimulot adaiwa kumuua mpenziwe Cynthia Chepkoech aliyetaka kumwacha
video
C
Citizen TV (Youtube)March 31, 2026
2h ago
Mwanaume mwenye umri wa miaka 29 anazuiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake katika eneo la Kimulot, Kaunti Ndogo ya Konoin, kaunti ya Bomet alfajiri ya Jumatatu.
Kulingana na ripoti za polisi, mshukiwa anayejulikana kama Charles Korir kutoka kijiji cha Chepkitach, anad
Advertisement
Advertisement









![| MWENGE WA KAUNTI | Ustawi wa mji na nyumba [ Part 2 ]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/-MWENGE-WA-KAUNTI-_1774948139-16x9.jpg)