Back to home

Msimamizi wa bajeti Margaret Nyakango asema mzigo wa madeni ya Kenya umekuwa mzito

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 31, 2026
2h ago
Kulingana na msimamizi wa bajeti Margaret Nyakango, hazina ya kitaifa inazidi kuathirika na mirunduko ya madeni ambayo sasa imeanza kufikia kiwango cha kutozwa riba. Nyakango anasema sasa malipo ya madeni hayo yanaathiri utekelezaji wa bajeti. Nyakango...the debts that continue t
Advertisement