Back to home
Chama cha UPA chamuunga mkono Matiang'i kuwania urais 2027
video
C
Citizen TV (Youtube)March 31, 2026
2h ago
Uongozi wa chama cha United Progressive Alliance( UPA) sasa umeamua kwamba katika uchaguzi ujao chama hicho kitakuwa na wagombea katika nyadhifa zote za kisiasa ila tu katika kiti cha mgombea urais . Katika mkutano maalum ya wajumbe wakuu na viongozi wa mashinani wa chama hicho
Advertisement
Advertisement
