Back to home
Wetang'ula na Farouk wasema upinzani unaeneza chuki
video
C
Citizen TV (Youtube)March 31, 2026
2h ago
Baadhi ya viongozi kutoka serikali jumuishi wakiongozwa na spika wa bunge la taifa Moses Wetangula na msaidizi wa rais Farouk Kibet wameendeleza kampeni ya kumpigia debe rais William Ruto ya mhula wa pili wakiusuta upinzani kwa kueneza siasa ya ukabila.
Wakizungumuza huko Matur
Advertisement
Advertisement





