Back to home
Vyuo vikuu vinane nchini vitapambana kuwania taji la kandanda la varsity cup
video
C
Citizen TV (Youtube)March 31, 2026
1h ago
Vyuo vikuu vinane nchini vitapambana kuwania taji la kandanda la varsity cup lililozinduliwa hapa jijini nairobi. Mchuano huo utakaoanza aprili 7 unalenga kukuza vipaji vya wanafunzi wa vyuo vikuu ambavyo haviangaziwi sana.
Advertisement
Advertisement









