Back to home

AFCON: Anthony Lung’aho katibu mpya, Kenya ilipa KSh 3.9B

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 31, 2026
3h ago
Waziri wa michezo Salim Mvurya amefanya mabadiliko kadhaa katika kamati ya maandalizi ya mashindano ya AFCON ya 2027 yatakayoandaliwa na uganda, tanzania na kenya. Mvurya pia alitangaza kuwa hatimaye kenya imelipa ada ya maandalizi ya shilingi bilioni 3.9 inayodaiwa na shirikisho
Advertisement