Back to home

Wazazi walaumiwa kwa kuwatelekeza watoto wao na kuchangia matokeo duni ya mitihani ya kitaifa Bura

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 1, 2026
2h ago
Baadhi ya wadau wa elimu katika eneo bunge la Bura kaunti ya Tana River wamelaumu wazazi kwa kutelekeza majukumu yao na kukosa kuwajibika kuhusu elimu ya watoto wao jambo ambalo husababisha matokeo mabaya katika mitihani ya kitaifa. Wakizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi hundi
Advertisement