Back to home
David Maraga awarai vijana kujisajili kwa wingi kuwa wapiga kura
video
C
Citizen TV (Youtube)April 1, 2026
1h ago
Aliyekuwa jaji mkuu na mgombea wa urais kwa chama cha United Green Party David Maraga amewarai vijana kujisajili kwa wingi kuwa wapigakura ili kuing'atua serikali iliyoko kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2027.
Advertisement
Advertisement



