Back to home
Mabingwa mara nne wa kombe la dunia italia wamekosa kufuzu kwa awamu tatu mfululizo
video
C
Citizen TV (Youtube)April 1, 2026
3h ago
Mabingwa mara nne wa kombe la dunia italia wamekosa kufuzu kwa awamu tatu mfululizo baada ya kulazwa kupitia matuta ya penalti dhidi ya Bosnia kwa mabao manne kwa moja kwenye mechi ya mchujo.
Advertisement
Advertisement

