Back to home

Uhuru awaonya wakazi wa Mlima Kenya kutorudia 'makosa' waliofanya uchaguzi uliopita

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 1, 2026
2h ago
Rais mstaafu Uhuru Kenyatta amewaonya wakazi wa Mlima Kenya dhidi ya kile amesema ni kutorudia makosa waliofanya kwenye uchaguzi mkuu uliopita. Rais mstaafu akiwataka wakaazi wa Mlima Kenya kuungana, akiendelea kuwaonya dhidi ya wanasiasa wenye maneno matamu. Uhuru, aliyehudhuria
Advertisement