Back to home

Karaba akumbukwa kama kiongozi shupavu Kirinyaga

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 1, 2026
2h ago
Aliyekuwa seneta wa Kirinyaga, marehemu Daniel Karaba, amekumbukwa kama mfano bora katika utendaji wake kama mwalimu na kiongozi wa kaunti ya Kirinyaga. Katika hafla ya mazishi iliyowaleta pamoja viongozi, akiwa mmojawapo Rais mstaafu Uhuru Kenyatta, Karaba alitajwa kama kiongozi
Advertisement