Back to home

Familia 200 zaachwa bila makao Kajulu Kisumu kufuatia mvua kubwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 1, 2026
2h ago
Familia mia mbili kutoka eneo la Kajulu, kaunti ya Kisumu, zimesalia njia panda baada ya nyumba zao kuharibiwa na mvua wiki mbili zilizopita. Baadhi ya waathiriwa sasa wanaishi chini ya miti wakikodolea macho athari za utovu wa usalama. Wakazi hao sasa wanaitaka serikali ya kaunt
Advertisement