Back to home

Fujo na vurumai Machakos | Wanakandarasi waongoza malalamiko

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 1, 2026
2h ago
Kwa siku ya pili sasa, shughuli za uchukuzi na biashara mjini Machakos zimetatizika, baada ya vurugu kuzuka kati ya wanakandarasi na maafisa wa usalama. Vurugu hilo lilizuka pale wachuuzi hao walipoandamana na kutishia kuingia kwenye ofisi ya gavana wa kaunti hiyo kudai malipo ya
Advertisement