Back to home

Congo yafuzu Kombe la Dunia baada ya miaka 52

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 1, 2026
3h ago
Amhuri ya kidemokrasia ya Congo imefuzu kwa Kombe la Dunia la kandanda kwa mara ya kwanza baada ya miaka 52. Hii ni kufuatia bao la muda wa ziada lililofungwa na Axel Tuanzebe na kuwapa ushindi wa 1-0 dhidi ya Jamaica katika fainali ya mchujo ya kuwania kufuzu kwa mabara kwenye u
Advertisement