Back to home

Wakaazi wa Khwisero waandamana kudai haki kufuatia mauaji ya aliyekuwa mwakilishi wadi

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 2, 2026
2h ago
Wakaazi wa Kisa mashariki eneo bunge la Khwisero kaunti ya Kakamega wameandamana kudai haki kufuatia mauaji ya aliyekuwa mwakilishi wadi wa eneo hilo Stephen Maloba. Maloba aliuwawa miaka mitatu iliyopita na hadi sasa familia yake inasem akuwa haijapata haki. Wakaazi walijiunga
Advertisement