Back to home
Maafisa wa Kituo cha kitaifa cha kukabiliana na ugaidi NCTC wamefanya kikao na wadau wa usalama
video
C
Citizen TV (Youtube)April 2, 2026
1h ago
Maafisa wa Kituo cha kitaifa cha kukabiliana na ugaidi NCTC wamefanya kikao na wadau wa usalama katika kaunti ya Tana River ili kutambua mbinu zinazotumika na magaidi kushawishi vijana wenye umri mdogo kujiunga na kundi hilo.
Advertisement
Advertisement





