Back to home
Vurugu Kipkaren | Zaidi ya nyumba 100 zabomolewa
video
C
Citizen TV (Youtube)April 2, 2026
2h ago
Vurugu lilishuhudiwa katika mtaa wa Kipkaren jijini Eldoret, kaunti ya Uasin Gishu, ambako wakazi wenye ghadhabu wamebomoa zaidi ya nyumba 100 wanazosema zimejengwa kwenye ardhi ya umma. Wakazi hawa wakimlaumu mwakilishi mmoja wa eneo hilo kumiliki ardhi hiyo kinyume na sheria. W
Advertisement
Advertisement
