Back to home
Askofu wa kanisa katoliki Mombasa Martin Kivuva amkosoa rais mstaafu Uhuru Kenyatta
video
C
Citizen TV (Youtube)April 3, 2026
2h ago
Askofu wa kanisa katholiki jimbo la Mombasa Martin Kivuva amesema kanisa halifai kulaumiwa kuhusu siasa na matokeo ya uchaguzi nchini akisema kuwa ufisadi na suala la kuhongwa kwa wapiga kura ndiyo masuala yanapaswa kushughulikiwa kikamilifu.
Advertisement
Advertisement





