Back to home

Askofu wa kanisa katoliki Mombasa Martin Kivuva amkosoa rais mstaafu Uhuru Kenyatta

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 3, 2026
2h ago
Askofu wa kanisa katholiki jimbo la Mombasa Martin Kivuva amesema kanisa halifai kulaumiwa kuhusu siasa na matokeo ya uchaguzi nchini akisema kuwa ufisadi na suala la kuhongwa kwa wapiga kura ndiyo masuala yanapaswa kushughulikiwa kikamilifu.
Advertisement