Back to home
IEBC yalenga kuwasajili wapigakura wapya 54,000 Makueni
video
C
Citizen TV (Youtube)April 3, 2026
2h ago
Mafisa wa IEBC kaunti ya Makueni wamekutana na washikadau mbalimbali wakiwemo wanasiasa,wanahabari,viongozi wa kidini na mshirika ya kutetea haki za binadamu katika harakati za kutafuta jinsi watakavyofanikisha zoezi la siku 30 la kusajili wapigakura kwa wingi.
Advertisement
Advertisement





