Back to home
Waumini wa Kikristo waadhimisha Ijumaa Kuu Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)April 3, 2026
2h ago
Waumini wa Kikristo kote ulimwenguni leo wameadhimisha Ijumaa Kuu, siku muhimu katika kalenda ya Kikristo inayokumbuka mateso na kifo cha Yesu Kristo msalabani. Hapa jijini Nairobi, Askofu Mkuu Philip Anyolo ameongoza Ibada ya Njia ya Msalaba kutoka Kanisa Kuu la Holy Family Basi
Advertisement
Advertisement





