Back to home
Viongozi wa kidini wakana upotoshaji kwenye uchaguzi uliopita
video
C
Citizen TV (Youtube)April 3, 2026
2h ago
Viongozi wa kidini wamekana kuwa waliwapotosha Wakenya kwenye uchaguzi uliopita. Askofu wa Kanisa la Katoliki Jimbo la Mombasa Martin Kivuva amemkosoa rais mstaafu Uhuru Kenyatta akisema kuwa ufisadi na hongo kwa wapiga kura ndio donda sugu linalochangia kwa uongozi mbaya nchini.
Advertisement
Advertisement





