Back to home

Sakata ya mafuta: Wakaazi wa Elgeyo Marakwet wamtetea Daniel Kiptoo

video
N
NTV Kenya (Youtube)
April 4, 2026
3d ago
Baadhi ya wakazi wa Kaunti ya Elgeyo Marakwet wameandamana hii leo wakidai kuachiliwa na kurudishwa kazini kwa aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na mafuta (EPRA), Daniel Kiptoo, wakidai mashataka dhidhi yake haina msingi. Subscribe and watch NTV Kenya l
Advertisement