Back to home
Gachagua amkosoa Rais Ruto kwa sakata ya mafuta
video
C
Citizen TV (Youtube)April 4, 2026
3h ago
Kiongozi wa DCP, Rigathi Gachagua, amemshutumu Rais William Ruto kwa kile alichodai ni kupanga kukamatwa kwa maafisa watatu wa sekta ya mafuta wakiongozwa na katibu mkuu wa nishati mohamed liban. Akizungumza huko thika, gachagua amedai walilengwa kwa kukiuka maagizo ya mpango wa
Advertisement
Advertisement





