Back to home
Gachagua azungumzia sakata ya mafuta, adai wahusika walijikanga wenyewe
video
C
Citizen TV (Youtube)April 5, 2026
3d ago
Kinara wa DCP na aliyekuwa Naibu Rais, Rigathi Gachagua, amesisitiza msimamo wake kuhusu sakata ya uagizaji wa mafuta, akidai kuwa kukamatwa kwa maafisa watatu wanaohusishwa na kashfa hiyo kunatokana na mgogoro wa kibiashara. Gachagua akidai kuwa kukamatwa kwao si suala la uwajib
Advertisement
Advertisement





