Back to home

Vilabu 40 vya Roysambu vinashiriki mashindano ya ukuzaji talanta kwa jinsia zote

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 6, 2026
4h ago
Jumla ya timu arubaini za wanaume na wanawake kutoka eneo bunge la Roysambu hapa Nairobi zitapambana kuwania taji la michuano ya daktari Faith Mwaura iliyoanza jana Jumapili uwanjani Kahawa West. Lengo kuu la mchuano huo utakaomalizika Mei 3, ni kukuza vipaji vya vijana mashinani
Advertisement