Back to home
Wakazi Pioneer Estate wataka zoezi la ubomozi wa nyumba zao lisitishwe mara moja
video
C
Citizen TV (Youtube)April 6, 2026
3h ago
Wakazi wa eneo la Pioneer Estate Barabara ya Outering Nairobi wametaka kusimamishwa mara moja kwa ubomoaji uliopangwa wa nyumba zao. Wanasema hatua hiyo ni ya ghafla na kinyume cha sheria, wakidai waliarifiwa tu kwamba ubomoaji huo unalenga kuwezesha mabadiliko ya njia ya bomba
Advertisement
Advertisement





