Back to home
Gitau Munene, Evans Kili waibuka mabingwa Kaptagat
video
C
Citizen TV (Youtube)April 6, 2026
4h ago
Gitau Munene na Evans Kili wameibuka mabingwa wa mashindano ya Kaptagat 4x4, wakitwaa ushindi katika viwango vya wataalamu na wanaoanza mtawalia.
Mashindano ya mwaka huu yalivutia zaidi ya washindani 20 waliokuwa wakishindania zaidi ya shilingi 180,000 pesa taslimu huku wakipata
Advertisement
Advertisement









