Back to home
Kijiji cha Thayo kinaomboleza vifo vya ajali Kariandusi
video
C
Citizen TV (Youtube)April 6, 2026
2h ago
Kijiji cha Thayo eneobunge la Bahati kaunti ya Nakuru kimeendelea kuomboleza vifo vya watu watatu walioangamia kwenye ajali ya barabarani eneo la kariandusi Ijumaa usiku. Kijiji hiki kinaomboleza huku idadi ya waliofariki kwenye ajali hiyo ikifikia watu 11 baada ya mtu mmoja aliy
Advertisement
Advertisement





