Back to home
Kamati ya uhasibu imeandikia DCI kuchunguza magavana waliokaidi kufika Seneti
video
C
Citizen TV (Youtube)April 6, 2026
2h ago
Kamati ya uhasibu katika bunge la seneti sasa imeandikia barua idara ya upelelezi ya DCI kuanzisha uchunguzi dhidi ya baadhi ya kaunti na magavana ambao wameshindwa kuelezea matumizi ya fedha kwenye maswali ya mkaguzi wa hesabu za serikali. Aidha kamati hiyo imeitaka tume ya kupa
Advertisement
Advertisement





