Back to home
Wanafunzi wa chuo cha Bomet walalamikia taka zinazotupwa kiholela karibu na chuo chao
video
C
Citizen TV (Youtube)April 7, 2026
2h ago
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Bomet wameelezea wasiwasi wao kuhusiana na eneo la kutupa taka lililojengwa na serikali ya kaunti ya Bomet karibu na chuo hicho.
Wanasema kuwa eneo hilo linaleta hatari kwa sababu wengi wao wanaishi na kufanya shughuli zao kila siku katika eneo hilo.
Advertisement
Advertisement

