Back to home

Viongozi walalamikia idadi ndogo ya wanaosajiliwa kama wapigakura Nyamira

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 7, 2026
3h ago
Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Nyamira wamelalamikia idadi ndogo ya watu wanaojitokeza kujisajili kuwa wapiga kura katika kaunti hiyo. Aidha wamewarai vijana kujisajili kwa wingi ili kuchukua nafasi yao ya kidemokrasia kushiriki katika kuwachagua viongozi wao. Wak
Advertisement