Back to home
Foleni ndefu za mafuta zaanza kuibuka Kenya huku uhaba ukionekana
video
C
Citizen TV (Youtube)April 7, 2026
2h ago
Uhaba wa mafuta umeanza kunukia nchini huku foleni ndefu zikishuhudiwa kwenye vituo vya mafuta sehemu mbalimbali nchini. Japo vituo vingi vimeendelea kuuza mafuta hapa jijini Nairobi, foleni za kununua mafuta zimeshuhudiwa katika maeneo ya Nyamira, Bonde la Ufa, Kati na hata Magh
Advertisement
Advertisement
