Back to home
Rais Ruto awaonya wahusika wa sakata ya mafuta, “Matapeli wapo wazi”
video
C
Citizen TV (Youtube)April 7, 2026
2h ago
Katika kila hatua ya kuagiza bidhaa kutoka mataifa ya kigeni, jina la matapeli si geni katika vinywa vya wanasiasa na viongozi nchini. Katika kashfa ya punde zaidi kuhusu uagizaji wa mafuta, Rais William Ruto aliwafokea na kuwaonya wahusika wa sakata hiyo, akiwataja kuwa matapeli
Advertisement
Advertisement





