Back to home

Shughuli ya haraka ya kuagiza mafuta nchini yaibua maswali

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 7, 2026
2h ago
Mkutano wa kwanza wa dharura kuhusu uhaba wa mafuta nchini uliofanyika tarehe 9 mwezi Machi huku stakabadhi zikionyesha kuwa, wiki mbili baada ya mkutano huo, mafuta yaliyooagizwa tayari yalikuwa yanashushwa katika kampuni ya Kenya Pipeline mjini Mombasa. Mwanahabari wetu Melita
Advertisement