Back to home
Waziri Wandayi: Sikujulishwa kuhusu mpangilio wowote wa kuingiza petroli tata nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)April 8, 2026
2h ago
Waziri wa kawi Opiyo Wandayi sasa anasema kuwa hakujulishwa kuhusu mpangilio wowote wa kuingiza petroli tata nchini licha ya stakabadhi kadhaa kuonyesha mawasiliano kati yake na aliyekuwa katibu wa wizara hiyo Mohammed Liban, kuhusu uagizaji wa lita milioni 60 za mafuta hayo. Wan
Advertisement
Advertisement




