Back to home

Rais Ruto atetea makato ya nyumba za bei nafuu kukabiliana na uhaba wa makazi

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 9, 2026
1h ago
Rais William Ruto ametetea uamuzi wa kuanzisha makato ya ujenzi wa nyumba za bei nafuu, akisisitiza kuwa hatua hiyo ni muhimu kukabiliana na uhaba wa makazi nchini huku miji ikiendelea kukua kwa kasi. Ameongeza kuwa licha ya upinzani kutoka kwa baadhi ya viongozi, mpango huo utae
Advertisement