Back to home
Maswali yaliiibuka bungeni kuhusu matumizi ya shilingi 8m kila siku kumsafirisha Naibu Raisai
video
C
Citizen TV (Youtube)April 10, 2026
2h ago
Maswali yaliiibuka kwenye kamati ya uhasibu bungeni kuhusu matumizi ya shilingi milioni nane kila siku kumsafirisha Naibu Rais katika kaunti za Tharaka Nithi, Laikipia, Isiolo na Kitui. Wabunge wakitaka maelezo ya faida za safari hizo kwa umma
Advertisement
Advertisement





